Changu Chako, Chako Changu by RFI Kiswahili

Changu Chako, Chako Changu

Changu Chako, Chako Changu ni makala inayozungumzia masuala ya historia, utamaduni, muziki na lugha ya Kifaransa Afrika Mashariki na Kati na duniani. Makala haya yatakuhabarisha pia kuhusu Jumuiya ya Kimataifa ya Watu Wanaotumia lugha ya Kifaransa kwenye Mawasiliano (L'OIF) na jinsi gani kujifunza na kuelewa lugha nyingine inaweza kuimarisha mahusiano kwenye sehemu zote za maisha ya binadamu.

Radio: RFI Kiswahili
Category: Society & Culture
  • 169 
    - Mwezi wa la francophonie sehemu ya pili Louise Mushikiwabo akabidhi tuzo
    Sat, 25 Mar 2023
  • 168 
    - Makala haya yanazungumzia mwezi wa francophonie, kuelekea siku ya kimataifa ya OIF
    Thu, 23 Mar 2023
  • 166 
    - Muandishi wa vitabu Abdourahman Waberi atembelea studio za rfi kiswahili Nairobi
    Sat, 11 Mar 2023
  • 165 
    - Sehemu ya pili ya makala kuhusu hitoria ya wapemba wa Kenya na mwanamuziki Ali
    Sat, 04 Mar 2023
  • 164 
    - Historia ya watu wa kabila la wapemba wa Kenya baada ya kuidhinishwa kuwa kabila la 43
    Sat, 25 Feb 2023
Show more episodes

More society & culture podcasts

More society & culture international podcasts