Nyumba ya Sanaa by RFI Kiswahili

Nyumba ya Sanaa

Nyumba ya Sanaa ni Makala ya  Utamaduni ambayo inatoa fursa  kwa wasanii  na wadau wa sanaa kuwasilisha maoni yao kwa ajili ya maendeleo ya kweli ya Afrika na dunia kwa ujumla, tukiwa na lengo la kudumisha na kuendeleza tamaduni nzuri katika mwingiliano wa tamaduni uliopo, tukizingatia maisha ya kisasa na utandawazi kwa ujumla.

Radio: RFI Kiswahili
Category: Arts
  • 152 
    - Muziki wa kizazi kipya unavyotia fora nchini Tanzania
    Sat, 27 May 2023
  • 151 
    - Maendeleo ya muziki wa Hip Hop mjini Mombasa pwani ya Kenya na Afrika Mashariki
    Sat, 20 May 2023
  • 150 
    - Nyimbo za Injili zakumbwa na mabadiliko ya kiteknolojia Afrika mashariki
    Sat, 13 May 2023
  • 149 
    - Sanaa ya uchoraji visiwani Zanzibar
    Sat, 06 May 2023
  • 148 
    - Maendeleo ya sanaa ya muziki wa kizazi kipya eneo la mashariki mwa DRC
    Sat, 29 Apr 2023
Show more episodes

More arts podcasts

More arts international podcasts